• HABARI MPYA

    Saturday, May 12, 2018

    WATU WENYE HUZUNI ZAIDI KWA SASA TANZANIA NI HAWA

    Shabiki maarufu wa Yanga, Mack Yanga akiwa mwenye huzuni Aprili 29, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa 1-0 na mahasimu, Simba SC. Huzuni imetawala miongoni mwa mashabiki na wapenzi wa Yanga SC kwa sasa baada ya kupokonywa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na watani wao hao wa jadi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WATU WENYE HUZUNI ZAIDI KWA SASA TANZANIA NI HAWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top