Shabiki maarufu wa Yanga, Mack Yanga akiwa mwenye huzuni Aprili 29, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa 1-0 na mahasimu, Simba SC. Huzuni imetawala miongoni mwa mashabiki na wapenzi wa Yanga SC kwa sasa baada ya kupokonywa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na watani wao hao wa jadi.
Thierry Henry stuck out on the right flank, no room for Kevin De Bruyne and
two Man United legends... Phil Foden reveals his all-time Premier League XI
to Mail Sport
-
In addition to discussing the title run-in and detailing why he wears the
number 47 , Foden also named an all-time XI that raised more than a few
eyebrows ...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment