Shabiki maarufu wa Yanga, Mack Yanga akiwa mwenye huzuni Aprili 29, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa 1-0 na mahasimu, Simba SC. Huzuni imetawala miongoni mwa mashabiki na wapenzi wa Yanga SC kwa sasa baada ya kupokonywa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na watani wao hao wa jadi.
Cowboys owner Jerry Jones spreads festive cheer by dressing as Santa and
delivering gifts before Christmas win
-
In the midst of a down year, Dallas Cowboys players got some cheering up
from their team owner before a crucial Christmas Day game against their
rivals.
25 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment