Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za saba na 76 katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Erik Lamela dakika za 49 na 60 na lingine Christian Fuchs akijifunga dakika ya 53, huku ya Leicester yakifungwa na Jamie Vardy mawili dakika za nne na 73, Riyad Mahrez dakika ya 16 na Kelechi Iheanacho dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham show support to former academy player Sam Cox as interim manager
looks to ensure Wealdstone avoid relegation on final day of National League
season
-
One of the clubs with all to play for on Saturday lunchtime is Wealdstone
whose manager Sam Cox is a former Spurs academy team-mate of Harry Kane,
Ryan Mas...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment