Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za saba na 76 katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Erik Lamela dakika za 49 na 60 na lingine Christian Fuchs akijifunga dakika ya 53, huku ya Leicester yakifungwa na Jamie Vardy mawili dakika za nne na 73, Riyad Mahrez dakika ya 16 na Kelechi Iheanacho dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo is BLOCKED from Man United loan exit: Ruben Amorim tells
'future of the club' to 'wait' despite relationship being at breaking point
-
CHRIS WHEELER: Mainoo is desperate to move away from Old Trafford next
month after it emerged that the 20-year-old's relationship with his boyhood
club is ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment