• HABARI MPYA

    Sunday, May 13, 2018

    JESUS AIFUNGIA MAN CITY BAO LA POINTI 100 ENGLAND

    Gabriel Jesus akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee dakika ya 90 ikiilaza 1-0 Southampton Uwanja wa St. Mary's kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England na kufikisha pointi 100 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JESUS AIFUNGIA MAN CITY BAO LA POINTI 100 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top