Kocha Mfaransa wa Arsenal, Arsene Wenger akikatiza katikati ya wachezaji wake na wa Huddersfield Town kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield mjini West Yorkshire kuaga akikamilisha miaka 22 ya kufundisha klabu hiyo ya London. Arsenal imeshinda 1-0, bao pekee la Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary Sky Sports News presenter quits after working her last shift on
Christmas Day - after 27 years as the channel's 'First Lady'
-
Tributes have been paid to a 'pioneer' of sports broadcasting after she
signed off on 27 years of presenting on Sky Sports News with her final
shift on Chr...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment