Kocha Mfaransa wa Arsenal, Arsene Wenger akikatiza katikati ya wachezaji wake na wa Huddersfield Town kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield mjini West Yorkshire kuaga akikamilisha miaka 22 ya kufundisha klabu hiyo ya London. Arsenal imeshinda 1-0, bao pekee la Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates NFL Mock Draft 2024: J.J. McCarthy to Vikings Among Final
Predictions
-
J.J. McCarthy has been linked to the Minnesota Vikings since the moment
they lost Kirk Cousins to the Atlanta Falcons in free agency. That doesn't
change in…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment