Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar (kulia) akikabidhiwa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligue 1, Ufaransa na gwiji wa Brazil, Ronaldo Lima (kushoto) baada ya kuwapiku wachezaji wenzake wa PSG, Edinson Cavani na Kylian Mbappe, huku Florian Thauvin wa Marseille akimaliza nafasi ya nne. Lakini tuzo hiyo imeleta maswali, kwa sababu Neymay amecheza mechi 20 tu na kufunga mabao 19, wakati Cavani ndiye mfungaji bora wa Ligue 1 kwa mabao yake 28, akifuatiwa na Thauvin mabao 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I've been to all 92 Football League grounds - this is the definitive list
from worst to best and where YOUR club ranks, writes OLIVER HOLT
-
DAILYMAIL+ BEST OF 2025: This year I completed the journey of a lifetime
and I am ranking all 92 English Football League grounds - find out who
comes out o...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment