Mashabiki wa Liverpool wakinywa pombe kwa furaha mjini Roma, Italia jana baada ya kuwasili kuisapoti timu yao katika mchezo wa leo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Roma. Liverpool ilishinda 5-2 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Anfield, ushindi ambao wanatakiwa kuulinda katika mchezo wa leo Uwanja wa Olimpiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashworth set to take Newcastle to arbitration over Man Utd move
-
Dan Ashworth is set to take Newcastle to arbitration to ensure his move to
become Manchester United's sporting director can go ahead.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment