Mashabiki wa Liverpool wakinywa pombe kwa furaha mjini Roma, Italia jana baada ya kuwasili kuisapoti timu yao katika mchezo wa leo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Roma. Liverpool ilishinda 5-2 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Anfield, ushindi ambao wanatakiwa kuulinda katika mchezo wa leo Uwanja wa Olimpiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Verstappen beats Norris and Piastri to pole in season finale
-
Red Bull's Max Verstappen beats his McLaren title rivals Lando Norris and
Oscar Piastri to pole position for the Abu Dhabi Grand Prix.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment