Kipa namba moja wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes (kulia) akiwa benchi na wachezaji wenzake, Muhsin Makame, Shaaban Ada na Kevin Nashon Naftali kwenye benchi wakati wa mechi ya Mali jioni hii kufuzu Fainali za Afrika za U20 mwakani nchini Niger. Mali wanaongoza kwa mabao 2-1
Kipa Abdultwali Msheri wa Ngorongoro akiwa nyuma ya ukuta wa wachezaji wake wakati Mali wanapiga mpira wa adhabu nje kidogo ya boksi
Samadiare Dianka wa Mali akiinua mpira kiutaalamu kuelekea kwenye lango la Ngorongoro Heroes
Abdultwalib Msheri akiuangalia mpira unavyoupita ukuta wa Ngorongoro Heroes
Abdultwali Msheri akiushuhudia mpira unavyotinga nyavuni kuipatia Mali bao la pili leo
Kocha Mkuu wa Ngorongoro Heroes, Ammy Ninje (kushoto) akiwa na Wasaidizi wake, Juma Mgunda, kocha wa makipa Saleh Machuppa na Meneja Leopold Mukebezi 'Taso'
Korean prosecutors seek 10-year sentence for ousted President Yoon in first
martial law trial
-
SEOUL, South Korea (AP) — An independent counsel on Friday demanded a
10-year prison term for South Korea’s ousted President Yoon Suk Yeol in the
first of ...
16 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment