• HABARI MPYA

    Sunday, May 13, 2018

    KABWILI YUKO BENCHI, NGORONGORO HEROES IMEKWISHAPIGWA 2-1 NA MALI

    Kipa namba moja wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes (kulia) akiwa benchi na wachezaji wenzake, Muhsin Makame, Shaaban Ada na Kevin Nashon Naftali kwenye benchi wakati wa mechi ya Mali jioni hii kufuzu Fainali za Afrika za U20 mwakani nchini Niger. Mali wanaongoza kwa mabao 2-1 
    Kipa Abdultwali Msheri wa Ngorongoro akiwa nyuma ya ukuta wa wachezaji wake wakati Mali wanapiga mpira wa adhabu nje kidogo ya boksi
    Samadiare Dianka wa Mali akiinua mpira kiutaalamu kuelekea kwenye lango la Ngorongoro Heroes
    Abdultwalib Msheri akiuangalia mpira unavyoupita ukuta wa Ngorongoro Heroes
    Abdultwali Msheri akiushuhudia mpira unavyotinga nyavuni kuipatia Mali bao la pili leo
    Kocha Mkuu wa Ngorongoro Heroes, Ammy Ninje (kushoto) akiwa na Wasaidizi wake, Juma Mgunda, kocha wa makipa Saleh Machuppa na Meneja Leopold Mukebezi 'Taso' 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KABWILI YUKO BENCHI, NGORONGORO HEROES IMEKWISHAPIGWA 2-1 NA MALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top