Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21, Mghana Emmanuel Okyere Boateng akishangilia baada ya kuifungia Levante mabao matatu peke yake dakika za tisa, 30 na 49 katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Barcelona usiku wa Jumapili Uwanja wa Ciudad de Valencia katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Levante yamefungwa na Enis Bardhi dakika za 46 na 56, huku ya Barca yakifungwa na Philippe Coutinho matatu pia dakika za 38, 59 na 64 na lingine Luis Suarez kwa penalti dakika ya 71. Hii ni mechi ya kwanza ya msimu ya La liga Barca inapoteza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2024 NFL Mock Draft: Day 2 Predictions from Bleacher Report
-
Offense ruled the opening day of the 2024 NFL draft. The first round saw a
record-setting 23 offensive players come off the board in the first 32
picks. Much…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment