Winga Gareth Bale (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Isco baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 13 na 30 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Celta-Vigo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real ambayo haikumtumia nyota wake, Mreno Cristiano Ronaldo sababu ni majeruhi yamefungwa na Isco dakika ya 32, Achraf Hakimi dakika ya 52, Sergi Gomez aliyejifunga dakika ya 74 na Toni Kroos dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man Utd consider Garner move - Saturday's gossip
-
Manchester United are considering a move for James Garner, Chelsea want to
offload Raheem Sterling and Axel Disasi, Sandro Tonali is a target for
Juventus,...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment