Winga Gareth Bale (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Isco baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 13 na 30 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Celta-Vigo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real ambayo haikumtumia nyota wake, Mreno Cristiano Ronaldo sababu ni majeruhi yamefungwa na Isco dakika ya 32, Achraf Hakimi dakika ya 52, Sergi Gomez aliyejifunga dakika ya 74 na Toni Kroos dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
DAZN überträgt | Stadion ausverkauft
-
Am Sonntag spielt Borussia Dortmund im SIGNAL IDUNA PARK gegen Bayer
Leverkusen. Anstoß ist um 17:30 Uhr. Alle Infos zu unserem
Bundesliga-Heimspiel haben ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment