Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
Tigers legend Trent Cotchin drops a bombshell about his great mate Dustin
Martin's future at the club
-
Cotchin and Martin won three flags together for the Tigers - and now the
ex-skipper turned commentator has driven speculation with an eye-opening
predictio...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment