Mashabiki wa Simba, leo
wamemtembezea kichapo mama mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya taifa ya
Tanzania, Taifa Stars yenye nembo ya Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF), kosa
kukaa kwenye jukwaa walilokuwa wamekaa wao. Sasa haikuweza kufahamika mara
moja, mashabiki wa Simba wana bifu na TFF au hawapendi timu ya taifa. Mama huyo
alikimbizwa huku akipewa kichapo hadi kutokwa damu, kabla ya kuokolewa na Polisi
waliomteremsha jukwaani. Aliporwa vitu vyake kama pochi na kadhalika. Baadaye akiwa
amekwishaokolewa na askari, ndipo msamaria mwema mmoja, albino akamuokotea
baadhi ya vitu na kuwakabidhi askari. Huwezi kulipa jina lingine tukio lile,
zaidi ya udhalilishaji wa kijinsia. Alikuwa anatia huruma mama huyo wakati
anahangaika kujitoa kwenye kundi la mashabiki wa kiuma wa Simba, iliyofungwa
3-1 na Azam leo katika Robo Fainali ya Kombe la Kagame.
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
48 minutes ago










.png)
0 comments:
Post a Comment