JEZI namba 11 ya Yanga anavaa Said Bahanuzi ‘Spider
Man’ na jezi namba 11 ya Simba anavaa Abdallah Juma ‘Dullah Mabao’. Hadi sasa,
katika mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame
yanayoendelea mjini Dar es Salaam, Bahanuzi amekwishafunga mabao manne kwenye
mechi tatu, wakati Abdallah amefunga mawili katika mechi mbili. Leo, Dullah
Mabao anacheza mechi ya tatu na ya mwisho ya kundi lao, A dhidi ya AS Vita ta Jamhuri
ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)- bila shaka anaweza kutikisa nyavu tena na kujiimarisha
katika mbio za kuwania kiatu cha dhahabu cha mashindano haya. BIN
ZUBEIRY inakuambia endelea kuwafuatilia vijana hawa katika mashindano
hayo. Wote wanavaa jezi namba 11. Leo uwanjani tupia jicho lako katika jezi 11.
Siku Yanga ikicheza tupia jicho kwa jezi 11.
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment