• HABARI MPYA

    Thursday, July 26, 2012

    KOCHA YANGA ALICHANGIA USHINDI WA AZAM DHIDI YA VITA

    Kocha wa Yanga, Tom Saintfiet anaonekana kuwa na sifa ya uungwana na kuweka mbele uzalendo wa taifa analofanyia kazi; Leo wakati wa mapumziko katika mechi ya Azam na AS Vita, alimfuata kocha wa Azam, Stewart Hall na kumpa ushauri wa kiufundi, wakati Azam ikiwa nyuma kwa 1-0 na kwa kuonyesha kwamba ushauri wake ulikuwa mzuri, Azam walifanikiwa kupata mabao mawili kipindi cha pili na kushinda 2-1. Jumamosi makocha hao timu zao zitakutana katika fainali, je hali itakuwaje? Hakika si shoo la kukosa.  

    Gumbo akitibiwa na Dk Sufiani Juma wa Yanga baada ya kuumia

    Dida akishangilia na mashabiki wa Azam

    Beki la kazi, Said Mourad 'Mweda'

    Mguu wa kulia wa Juma Abdul ulioumia kifundo kama unavyoonekana pichani

    Kiungo bora kabisa Afrika Mashariki kwa sasa, Salum Abubakar Sure Boy

    Yanga na APR wanaingia

    Azam na AS Vita baada ya mechi wakitoka uwanjani

    Kocha Muingereza, Kally Ongala wa Azam, msaidizi wa Muingereza mwenzake, Stewart Hall

    Kipa wa AS Vita akilalamika kwa refa

    Azam na AS Vita

    Fanya fyoko uone wakiwa tayari kwa kazi

    Raha ya mechi bao; Ngassa akipongezwa

    Ngassa bado wamo, wanambania tu

    Mashabiki wa Yanga

    Gau akipiga jaramba

    Mashabikinwa Yanga

    Bao la Yanga lilianzia hapa; wakati wachezaji wa APR wakiwa wamezubaa chini, Gumbo kushoto alikwenda kurusha haraka, Niyonzima akaingia nao mpira akampa Kiiza akafunga

    Braza Gau

    Yanga wamekosa bao wanarudi haraka

    Hivi ndivyo Bocco alivyoruka kufunga bao

    Wakati wa mapumziko mechi ya Yanga na Vita; Kocha wa Yanga, Tom Saintfiet alimuita kocha wa Azam, Stewart Hall kumuelekeza mambo na kipindi cha pili Azam ikatoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1

    Yanga na APR

    Beki wa APR analala na kuutoa mpira miguuni mwa Shamte Ally

    Stewart na Tom wakizungumza mapumziko Azam na Vita

    Kocha Stewart Hall

    Kiiza akinyemelea

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA YANGA ALICHANGIA USHINDI WA AZAM DHIDI YA VITA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top