Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke akiwa na beji ya Unahodha wa timu akimtoka beki wa Exeter, Jordan Moore-Taylor usiku wa jana Uwanja wa St James Park, katika mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya Liverpool yakifungwa na Jerome Sinclair na Brad Smith, wakati ya Exeter yamefungwa na Tom Nichols na Lee Holmes na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah's Liverpool career is 'OVER': Egypt national team chief
reveals details of star's hamstring injury
-
Mohamed Salah has played his last game for Liverpool - but will be fit for
the World Cup, according to Egypt's national team director.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment