• HABARI MPYA

    Thursday, January 28, 2016

    SAFARI NJEMA MBWANA ALLY SAMATTA, KILA LA HERI KATIKA MAISHA MAPYA UBELGIJI

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwa ndani ya ndege ya KLM usiku wa jana kwa safari ya Ubelgiji kwenda kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ligi Kuu ya nchini humo baada ya kuruhusiwa na klabu ya TP Mazembe ya DRC aliyoichezea tangu mwaka 2011 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAFARI NJEMA MBWANA ALLY SAMATTA, KILA LA HERI KATIKA MAISHA MAPYA UBELGIJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top