• HABARI MPYA

    Wednesday, January 20, 2016

    MOMBA KUZIPIGA NA BAINA MAZOLA BAGAMOYO MACHI 5

    Promota wa ndondi, Muhusin Sharrif (katikati) akiwa na mabondia Sadiq Momba (kushoto) na Baina Mazola mara baada ya wapiganaji hao kusaini Mkataba wa kupigana Machi 5, mwaka huu katika ukumbi wa Tasuba, Bagamoyo mkoani Pwani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOMBA KUZIPIGA NA BAINA MAZOLA BAGAMOYO MACHI 5 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top