Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la Ligi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Manchester City ambayo sasa inatinga fainali ya Capital One Cup kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 na Everton ugenini na watamenyana na Liverpool Februari 28 Uwanja wa Wembley, yamefungwa na Fernandinho na Kevin De Bruyne wakati la Everton limefungwa na Ross Barkley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SIR CLIVE WOODWARD: The dull, jeopardy-free PREM has played with fire by
scrapping relegation. Here's the proof that it's already hurting our clubs
- and what the league must do before it's too late
-
SIR CLIVE WOODWARD: Scrapping relegation was all about the league's balance
sheet. In doing so, it probably strengthened the PREM's financial position,
but...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment