Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la Ligi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Manchester City ambayo sasa inatinga fainali ya Capital One Cup kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 na Everton ugenini na watamenyana na Liverpool Februari 28 Uwanja wa Wembley, yamefungwa na Fernandinho na Kevin De Bruyne wakati la Everton limefungwa na Ross Barkley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alan Shearer predicts Eddie Howe WON'T be Newcastle's manager next season -
and accuses 'terrible' Toon players of 'chucking him under the bus'
-
The Magpies find themselves 14th in the Premier League table a season after
they qualified for the Champions League. They are still in contention to
qualif...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment