• HABARI MPYA

    Sunday, January 24, 2016

    DIEGO COSTA AWALAZA MAPEMAAAA ARSENAL, CHELSEA YAUA 1-0 EMIRATES

    Gabriel wa Arsenal akiutelezea mpira kwenye miguu ya Diego Costa wa Chelsea kumzuia bila mafanikio kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates leo. Chelsea imeshinda 1-0, bao pekee la Costa katika mchezo ambao beki wa Arsenal, Per Mertesacker alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mfungaji huyo wa bao a The Blues PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIEGO COSTA AWALAZA MAPEMAAAA ARSENAL, CHELSEA YAUA 1-0 EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top