Mshambuliaji Alexis Sanchez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal, wakiwemo Alex Iwobi (kushoto) na Kieran Gibbs (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 53 wakiichapa 2-1 Burnley katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na beki Calum Chambers dakika ya 19, wakati bao la Burnley lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment