Mshambuliaji Alexis Sanchez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal, wakiwemo Alex Iwobi (kushoto) na Kieran Gibbs (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 53 wakiichapa 2-1 Burnley katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na beki Calum Chambers dakika ya 19, wakati bao la Burnley lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alan Shearer predicts Eddie Howe WON'T be Newcastle's manager next season -
and accuses 'terrible' Toon players of 'chucking him under the bus'
-
The Magpies find themselves 14th in the Premier League table a season after
they qualified for the Champions League. They are still in contention to
qualif...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment