• HABARI MPYA

    Saturday, January 30, 2016

    SANCHEZ AIVUSHA ARSENAL KOMBE LA FA, YAILAZA 2-1 BURNLEY

    Mshambuliaji Alexis Sanchez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal, wakiwemo Alex Iwobi (kushoto) na Kieran Gibbs (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 53 wakiichapa 2-1 Burnley katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na beki Calum Chambers dakika ya 19, wakati bao la Burnley lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ AIVUSHA ARSENAL KOMBE LA FA, YAILAZA 2-1 BURNLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top