Kiungo wa KCC, Jackson Mayanja (kushoto) akikimbia na mpira kuurudisha kati uanze baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya SC Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uganda mwaka 1997 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala. Mayanja kwa sasa ni kocha wa Simba SC na mbali na KCC alicheza pia SC Villa na timu ya taifa ya Uganda, The Cranes
Alan Shearer predicts Eddie Howe WON'T be Newcastle's manager next season -
and accuses 'terrible' Toon players of 'chucking him under the bus'
-
The Magpies find themselves 14th in the Premier League table a season after
they qualified for the Champions League. They are still in contention to
qualif...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment