• HABARI MPYA

    Sunday, January 31, 2016

    MAYANJA ENZI ZAKE ALIKUWA 'HAKUNA KUREMBA', ANAPIGA BAO MPIRA KATI

    Kiungo wa KCC, Jackson Mayanja (kushoto) akikimbia na mpira kuurudisha kati uanze baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya SC Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uganda mwaka 1997 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala. Mayanja kwa sasa ni kocha wa Simba SC na mbali na KCC alicheza pia SC Villa na timu ya taifa ya Uganda, The Cranes
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYANJA ENZI ZAKE ALIKUWA 'HAKUNA KUREMBA', ANAPIGA BAO MPIRA KATI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top