Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Lionel Messi dakika ya 30, wakati la Atletico limefungwa na Koke dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment