Mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino (kushoto) akiifungia timu yake bao la kwanza kati ya mawili aliyofunga katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Norwich City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Jordan Henderson, James Milner na Adam Lallana, wakati ya Norwich yamefungwa na Dieudonne Mbokani Bezua, Steven Naismith, Wes Hoolahan kwa penalti na Sebastien Bassong PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SIR CLIVE WOODWARD: The dull, jeopardy-free PREM has played with fire by
scrapping relegation. Here's the proof that it's already hurting our clubs
- and what the league must do before it's too late
-
SIR CLIVE WOODWARD: Scrapping relegation was all about the league's balance
sheet. In doing so, it probably strengthened the PREM's financial position,
but...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment