• HABARI MPYA

    Thursday, January 21, 2016

    HUU MJADALA WA NINI HAPA MKWASA, KIM POULSEN NA PLUIJM!

    Aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mdenmark Kim Poulsen (kulia) akizungumza na kocha wa sasa wa timu hiyo, Charles Boniface Mkwasa (katikati) na kocha wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm (kushoto) jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Simba SC na JKT Ruvu. Simba SC ilishinda 2-0 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HUU MJADALA WA NINI HAPA MKWASA, KIM POULSEN NA PLUIJM! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top