Bryan Oviedo wa Everton (kushoto) akipambana na Ki Sung-Yueng wa Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Goodison Park. Swansea imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti baada ya Tim Howard kumchezea rafu Andre Ayew, aliyefunga bao la pili, wakati la Everton limefungwa na Jack Cork aliyejifunga kutokana na mpira wa Gareth Barry PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alan Shearer predicts Eddie Howe WON'T be Newcastle's manager next season -
and accuses 'terrible' Toon players of 'chucking him under the bus'
-
The Magpies find themselves 14th in the Premier League table a season after
they qualified for the Champions League. They are still in contention to
qualif...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment