Viungo Yaya Toure (kushoto) wa Manchester City akipambana na Alex Song wa West Ham United jana Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya City yote yalifungwa na Sergio Aguero la kwanza kwa penalti na lingine dakika za lala salama baada kuukuta mpira kwenye boksi, wakati ya West Ham pia yote yamefungwa na Enner Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment