Viungo Yaya Toure (kushoto) wa Manchester City akipambana na Alex Song wa West Ham United jana Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya City yote yalifungwa na Sergio Aguero la kwanza kwa penalti na lingine dakika za lala salama baada kuukuta mpira kwenye boksi, wakati ya West Ham pia yote yamefungwa na Enner Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment