Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SIR CLIVE WOODWARD: The dull, jeopardy-free PREM has played with fire by
scrapping relegation. Here's the proof that it's already hurting our clubs
- and what the league must do before it's too late
-
SIR CLIVE WOODWARD: Scrapping relegation was all about the league's balance
sheet. In doing so, it probably strengthened the PREM's financial position,
but...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment