Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cameron Bancroft to MISS Sheffield Shield final after freak biking accident
sees former Australia star sidelined for crucial game
-
The star batter fell off his bike and has been ruled out due to a head
injury, in a bitter blow for WA ahead of the final against Tasmania,
scheduled for T...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment