Marcel Halstenberg akipongezwa na Toni Kroos baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya 48 kabla ya Serge Gnabry kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jerry Rice's Son Brenden, Frank Gore Jr. Top Landing Spots After 2024 NFL
Draft Day 2
-
After the first three rounds of the draft, a pair of NFL legends' sons
remain undrafted. USC wide receiver Brendan Rice, son of Jerry Rice, and
Southern Miss…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment