Beki wa kikosi cha wachezaji wa akiba cha LA Galaxy, Mtanzania Abdalla Haji Shaibu 'Ninja' akiwa na mshambuliaji wa kikosi cha kwanza cha timu hiyo, Msweden Zlatan Ibrahimovich kwenye gym ya klabu hiyo Dignity Health Sports Park Carson mjini California nchini Marekani kwa mazoezi ya viungo. Ninja yupo LA Galaxy II kwa mkopo kutoka MFK Vyskov ya Czech aliyojiunga nayo akitokea Yanga ya Dar es Salaam
Crystal Palace winger Wilfried Zaha may finally leave this summer - but where will he go?
-
The Wilfried Zaha transfer saga has spluttered back into life after the
Crystal Palace talisman admitted to his desire to 'play at the highest
level'. Spor...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment