Muargentina Angel Di Maria (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Paris Saint-Germain mabao mawili dakika za 14 na 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la PSG lilifungwa na Thomas Meunier dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Washington wins NBA draft lottery, chance to pick No. 1 overall on June 23
-
The league’s worst team this season is getting the No. 1 pick in the NBA
draft. The Washington Wizards won the draft lottery on Sunday and are
poised to pi...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment