Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za saba na 86 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Grimsby Town kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Ross Barkley dakika ya nne, Pedro kwa penalti dakika ya 43, Kurt Zouma dakika ya 56, Reece James dakika ya 82 na Callum Hudson-Odoi dakika ya 89 wakati la Grimsby Town limefungwa na Matt Green dakika ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Payton Talks Michael Jordan's 'The Last Dance,' Kobe Bryant in B/R AMA
-
Gary Payton is widely regarded as one of the best NBA players from the
1990s. He's best known for his 13-year tenure with the Seattle SuperSonics
from 1990...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment