Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipatiwa matibabu ya msuli wa paka baada ya kuumia katika mchezo wa La Liga dhidi ya Villarreal usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kabla ya kutolewa mapumziko nafasi yake ikichukuliwa na Ousmane Dembele. Barcelona ilishinda 2-1, mabao yake yakichukuliwa na Antoine Griezmann dakika ya sita na Arthur Melo dakika ya 15, wakati la Villarreal lilifungwa na Santi Cazorla dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment