• HABARI MPYA

    Saturday, September 28, 2019

    MAZOEZI YA MWISHO AZAM FC KABLA YA KUWAVAA TRIANGLE UNITED LEO BULAWAYO

    Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akijifua Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo jana kuelekea mchezo wa marudiano wa Raundi ya Pili ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Triangle United. Azam FC inatakiwa kushindia kuanzia 2-0 ili isonge mbele, baada ya kufungwa 1-0 Azam Complex Septemba 15.
    Mshambuliaji Richard Ella D'jodi kutoka Ivory Coast akijifua Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo jana 
    Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' mazoezini jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo  
    Beki Mghana, Yakubu Mohamed akipiga shuti katika mazoezi ya penalti jana Bulawayo  
    Beki Mganda, Nicolas Wadada mazoezini jana mjini Bulawayo tayari kwa mchezo dhidi ya Triangle leo  
    Mshambuliaji Shaaban Iddi 'Chilunda' akipiga penalti mazoezini jana 
    Beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa akiwa mazozini jana mjini Bulawayo 
    Mshambuliaji Iddi Suleiman 'Nado' akijifua jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo  
    Kipa Mghana, Razack Abalora akiokoa penalti jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo 
    Winga Iddi Kipagwile akijifua jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo    
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAZOEZI YA MWISHO AZAM FC KABLA YA KUWAVAA TRIANGLE UNITED LEO BULAWAYO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top