Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 35 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Preston North End jana usiku Uwanja wa Deepdale kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 19 na Ryan Ledson aliyejifunga dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment