Sadio Mane (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, beki Virgil van Dijk baada ya kuiufngia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 28 kufuatia Jetro Willems kutangulia kuifungia Newcastle United dakika ya saba katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake mengine yakifungwa na Mane pia dakika ya 40 na Mohamed Salah dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Liverpool star Fernando Torres mourns the death of his father as he
is flooded with messages of support from his former team-mates
-
Fernando Torres has been flooded with messages of support after announcing
that his father, Jose, has died in a post on social media.
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment