Sadio Mane (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, beki Virgil van Dijk baada ya kuiufngia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 28 kufuatia Jetro Willems kutangulia kuifungia Newcastle United dakika ya saba katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake mengine yakifungwa na Mane pia dakika ya 40 na Mohamed Salah dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment