Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Martinelli (kushoto) akishangilia na Calum Chambers baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 31 kabla ya kufunga na la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Nottingham Forest usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England 'Carabao Cup'. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Rob Holding dakika ya 71, Joe Willock dakika ya 77 na Reiss Nelson dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal pass their most difficult test after breathless VAR drama: OLIVER
HOLT on the moment that could define the season, how the Gunners nearly
lost their heads and what Pep Guardiola would have made of it all
-
OLIVER HOLT AT THE LONDON STADIUM: On Saturday night, Pep Guardiola had
raised his arms and crossed one wrist in front of the other in the symbol
of West H...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment