Son Heung-min akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 10 na 23 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Patrick van Aanholt aliyejifunga dakika ya 21 na Erik Lamela dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment