Kinda wa Chelsea, Tammy Abraham akifurahia baada ya kuifungia Chelsea mabao matatu dakika za 34, 41 na 55 katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers leo Uwanja wa Molineux. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Fikayo Tomori dakika ya 31 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei, wakati ya Wolves moja Abraham alijifunga dakika ya 69 na lingine alifunga Patrick Cutrone dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Washington wins NBA draft lottery, chance to pick No. 1 overall on June 23
-
The league’s worst team this season is getting the No. 1 pick in the NBA
draft. The Washington Wizards won the draft lottery on Sunday and are
poised to pi...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment