• HABARI MPYA

    Sunday, September 15, 2019

    'KAPTENI DIEGO' SAMATTA ALIVYOMPOKEA CHIPUKIZI KELIVN JOHN 'MBAPPE NDANI YA GENK

    Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Ally Samatta 'Kapteni Diego' (kulia) akiwa na Mtanzania mwenzake, chipukizi Kelvin John 'Mbappe' mjini Genk ambaye ameitwa na klabu hiyo nchini Ubelgiji kwa ajili ya kusaini mkataba baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) mjini Dar es Salaam Aprili mwaka huu 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 'KAPTENI DIEGO' SAMATTA ALIVYOMPOKEA CHIPUKIZI KELIVN JOHN 'MBAPPE NDANI YA GENK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top