• HABARI MPYA

    Wednesday, September 18, 2019

    CHELSEA YACHEZEA KICHAPO DARAJANI, YAPIGWA 1-0 NA VALENCIA

    Nyota wa Valencia, Rodrigo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 74 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 1-0 huku kipa wake Kepa Arrizabalaga akiushuhudia mpira unavyojaa nyavuni Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YACHEZEA KICHAPO DARAJANI, YAPIGWA 1-0 NA VALENCIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top