Nyota wa Valencia, Rodrigo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 74 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 1-0 huku kipa wake Kepa Arrizabalaga akiushuhudia mpira unavyojaa nyavuni Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment