Nyota wa Valencia, Rodrigo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 74 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 1-0 huku kipa wake Kepa Arrizabalaga akiushuhudia mpira unavyojaa nyavuni Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Washington wins NBA draft lottery, chance to pick No. 1 overall on June 23
-
The league’s worst team this season is getting the No. 1 pick in the NBA
draft. The Washington Wizards won the draft lottery on Sunday and are
poised to pi...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment