• HABARI MPYA

    Sunday, September 15, 2019

    ARSENAL YAPOKONYWA USHINDI MWISHONI, SARE 2-2 NA WATFORD

    Roberto Pereyra akishangilia baada ya kuifungia Watford bao la kusawaziwsha dakika ya 81 kwa penalti ikitoa sare ya 2-2 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo ambao ni wa kwanza baada ya Quique Sanchez Flores kurejea Vicarage Road. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika za 21 na 32 wakati la kwanza la Watford limefungwa na Tom Cleverley dakika ya 53 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAPOKONYWA USHINDI MWISHONI, SARE 2-2 NA WATFORD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top