• HABARI MPYA

    Thursday, September 26, 2019

    VINICIUS ALIA BAADA YA KUPIGA BAO LA KWANZA REAL TANGU FEBRUARI

    Vinicius Junior akibubujikwa machozi kwa furaha baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 36, hilo bao la kwanza kwa ujumla katika timu hiyo tangu Februari katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Osasuna usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real Madrid lilifungwa na Rodrygo Goes dakika ya 72 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VINICIUS ALIA BAADA YA KUPIGA BAO LA KWANZA REAL TANGU FEBRUARI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top