Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la nne dakika ya 82 akimalizia pasi ya Romelu Lukaku katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow. Mabao mengine ya Ubelgiji yalifungwa na Lukaku dakika ya tisa, Thomas Vermaelen dakika ya 24, wote wakimalizia pasi za De Bruyne na Toby Alderweireld dakika 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool failed but gave fans hope that the Jurgen Klopp era can still
have a magical ending, writes LEWIS STEELE
-
LEWIS STEELE AT STADIO DI BERGAMO: If you are going to fail, then make sure
you fail beautifully. That was the rallying cry of Jurgen Klopp beforehand.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment