Kiungo Mreno Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 15, 48 na 60 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya kwanza, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya saba, Riyad Mahrez dakika ya 12, Nicolas Otamendi dakika ya 18 na Kelvin De Bruyne dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment