MAKOCHA wa timu ya taifa, Joel Bendera na Ray Gama wakimkabidhi Kombe la CCM Nahodha wa Pan Africans, Mohammed ‘Adolph’ Rishard Februari 5, mwaka 1977 baada ya kuwafunga Coastal Union ya Tanga 3-0 kwenye fainali Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Katikati anayetazama kamera ni mshambuliaji Kassim Manara ambaye siku hiyo alifunga mabao mawili
John Swinney slams Rangers for failing to stop fans from flouting lockdown rules after title win
-
The Deputy First Minister's comments were echoed by Police Scotland after
they claimed the newly-crowned champions had failed to support police pleas
to te...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment