• HABARI MPYA

    Sunday, September 15, 2019

    ADOLPH RISHARD, KASSIM MANARA WAKIPOKEA KOMBE LA CCM PAN 1977

    MAKOCHA wa timu ya taifa, Joel Bendera na Ray Gama wakimkabidhi Kombe la CCM Nahodha wa Pan Africans, Mohammed ‘Adolph’ Rishard Februari 5, mwaka 1977 baada ya kuwafunga Coastal Union ya Tanga 3-0 kwenye fainali Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Katikati anayetazama kamera ni mshambuliaji Kassim Manara ambaye siku hiyo alifunga mabao mawili
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ADOLPH RISHARD, KASSIM MANARA WAKIPOKEA KOMBE LA CCM PAN 1977 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top