Teemu Pukki (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Norwich City bao la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Norwich yamefungwa na Kenny McLean dakika ya 18 na Todd Cantwell dakika ya 28 wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 45 na Rodri Hernández dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Ashes LIVE: Aussie commentator apologises for his VERY rude swipe at
England
-
Get all the latest scores and updates as Ben Stokes's England team try to
bounce back after a mistake-riddled day two in Brisbane.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment