• HABARI MPYA

    Saturday, September 14, 2019

    NORWICH YAWAZIMA MABINGWA WATETEZI, YAWACHAPA MAN CITY 3-2

    Teemu Pukki (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Norwich City bao la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Norwich yamefungwa na  Kenny McLean dakika ya 18 na Todd Cantwell dakika ya 28 wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 45 na Rodri Hernández dakika ya 88 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NORWICH YAWAZIMA MABINGWA WATETEZI, YAWACHAPA MAN CITY 3-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top