Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini mjini Ndola jana asubuhi kuelekea mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Zesco United leo jioni Uwanja wa Levy Mwanawasa. Yanga inatakiwa kushinda ugenini leo baada ya sare ya 1-1 nyumbani wiki mbili zilizopita
Mary Berry describes BBC as Bake Off judge’s ‘home’ during Bafta fellowship
speech
-
Dame Mary said she has enjoyed her TV career as she ‘never knows what’s
coming next’
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment