REFA Said Almasi (katikati) akiwa na waamuzi wenzake, Alfred Lwiza (kulia), wote wa Mwanza na Nassor Hamdoun (kushoto) wa Kigoma Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza mwanzoni mwa miaka ya 1990 kabla ya moja ya mechi alizowahi kuchezesha enzi za uhai wake. Almasi alfariki dunia nyumbani kwake Jumanne wiki hii na kuzikwa Nyamanoro mjni Mwanza.
Busingye urges youth to be ambassadors of change
-
The Minister for Justice, Johnston Busingye, has called on the youth to
stand up for human rights and leverage their power to change the world for
the be...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment