• HABARI MPYA

    Sunday, September 29, 2019

    SAID ALMASI ENZI ZAKE AKIWA NA HAMDOUN NA LWIZA KIRUMBA

    REFA Said Almasi (katikati) akiwa na waamuzi wenzake, Alfred Lwiza (kulia), wote wa Mwanza na Nassor Hamdoun (kushoto) wa Kigoma Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza mwanzoni mwa miaka ya 1990 kabla ya moja ya mechi alizowahi kuchezesha enzi za uhai wake. Almasi alfariki dunia nyumbani kwake Jumanne wiki hii na kuzikwa Nyamanoro mjni Mwanza.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAID ALMASI ENZI ZAKE AKIWA NA HAMDOUN NA LWIZA KIRUMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top