Rhian Brewster akimrukia mgongoni mchezaji mwenzake, Ki-Jana Hoever kumpongeza baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Milton Keynes Dons kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa MK mjini Buckinghamshire. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na James Milner dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment