SIMBA SC WALIVYOJIFUA JANA MWANZA KUJIANDA NA MECHI DHIDI YA BIASHARA UNITED KESHO MUSOMA
Mshambuliaji Mbrazil wa Simba SC, Wilker Da Silva akijifua na wenzake jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Biashara United mjini Musoma mkoani Mara
Beki wa Simba SC, Kennedy Wilson akijifua na wenzake jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kujiandaa kuwavaa Biashara United kesho Uwanja wa Karume mjini Musoma
Kiungo Mkenya wa Simba SC, Francis Kahata akijifua na wenzake jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza
Beki wa Simba SC, Ramadhani Haruna Shamte akijifua na wenzake jana CCM Kirumba
Wachezaji wa Simba SC, Kennedy Wilson wakiwa mazoezini jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza
Wachezaji wa Simba SC wakijifua jana CCM Kirumba tayari kuwavaa Biashara United kesho mjini Musoma
What happened to him? – Ransford Osei
-
by Dom Agbakpe 14 years ago, football fans and pundits in Ghana had high
hopes for a budding forward who was perceived to be the perfect replacement
for ...
Guber election. Bauchi students endorse pate
-
Paul Orude, Bauchi Coalition of Bauchi State Students and Youths Movement
has endorsed Dr Muhammad Ali Pate of the People’s Democratic Party (PDP)
for ...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment