• HABARI MPYA

    Wednesday, September 18, 2019

    MARCO REUS AKOSA PENALTI DORTMUND WABANWA NA BARCA 0-0

    Marco Reus wa Borussia Dortmund akipiga penalti ambayo iliokolewa na kipa wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen dakika ya 57 baada ya Jadon Sancho kuchezewa rafu na Nelson Semedo kwenye boksi timu hizo zikitoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MARCO REUS AKOSA PENALTI DORTMUND WABANWA NA BARCA 0-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top